Nyinyi tukaneni mpaka mchoke maana tangia muanze kutukana matusi hata mkwaruzo sijapata msinilazimishe kupenda mnachokipenda nyinyi. Heshimuni maamuzi yangu kwani kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi anayoyaona kwa upande wake ni sahihi, nasema hivi wananchi wana akili timamu hawawezi kuwapa ridhaa ya kuongoza nchi hii kama wenyewe kwa wenyewe mnagombana mtaweza ongoza nchi hii mnavyoona watu wanajaa kwenye mikutano yenu mnafikiri mnapendwa hao wamekuja kuwashangaa mawaziri wakuu wawili waliohama chama tawala alafu kabila moja nasemaje kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaiweza ya mwenzako amuwezi pata madaraka ya nchi. komaeni kwanza kisiasa labda miaka amsini ijayo ndio tuwafikirie kuwapa nchi baada ya kujiridhisha kama mshakomaa kisiasa. Over


Advertisement

0 comments:

Post a Comment

 
Top