
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa akikutana na Godfather atajifunza vitu vingi.
“Godfather ni mtu mkubwa sana,” amesema Hanscana.
“Unajua mimi kwake ni kama naanza kazi, natamani sana kukutana naye. Nipo tayari nimlipe mtu ili anikutanishe na Godfather. Ana experience kubwa na kazi hii, kwahiyo kwangu ni mtu muhimu sana.”
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete